Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa Kagera, Fatma Mwassa amesema Serikali kwa sasa kwenye sekta ya uvuvi na uchukuzi, inaendelea na ujenzi na upanuzi wa miradi miwili ya bandari ya Bukoba na Kemondo.
Ndani ya CCM, aliwahi kuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Kagera. Kumbukumbu kuu za Banduka ziko katika maeneo mawili—ndani ya chama na serikalini. Akiwa serikalini kama mkuu wa mkoa, hakuwa mtu wa mchezo; ...
Aidha, amesema taarifa hiyo ya TMA iliyataja maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Morogoro, Kigoma, Kagera, Geita, Mwanza na Shinyanga yanatarajiwa kuwa na mvua za wastani hadi chini ya ...
Vijana hao ni Eradius Rwechungura (43), mfanyabiashara mkazi wa Kiseke, Mwanza; Heri Kabaju (37), maarufu kama ‘Babylon’ mvuvi mkazi Rwamisheni Kagera; Abdurahim Karugula ... pia kuwa ni Ofisa kutoka ...
Takribani wakazi 750 wa zamani wa visiwa hivyo, jamaa na watu wengine walikusanyika katika maandamano hayo ya kila mwaka yaliyofanyika mjini Nemuro katika mkoa wa kaskazini mwa Japani wa Hokkaido ...
"Hatuwezi kukubali picha za kutisha tulizoziona asubuhi ya leo," Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu, ambaye bado yuko Washington. Rais wa Israel Isaac Herzog, kwenye mtandao wa kijamii wa X ...
Kama wiki iliyopita, mabadilishano ya tano yatafanyika katika maeneo mawili katika Ukanda wa Gaza kwa mfululizo, anaripoti mwandishi wetu huko Jerusalem, Michel Paul. Mateka watatu wa Israeli ...
awape uhuru zaidi katika mkoa wa mashariki wa North Kivu," aliongeza. Maelezo ya picha, Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, amekuwa na uhusiano mgumu na Rais Paul Kagame wa Rwanda kwa miaka mingi.
Rais wa Marekani Donald Trump amechukua hatua ya kwanza katika kile ambacho wengi wanakielezea kama vita vya kibiashara na baadhi ya washirika wakubwa wa kiuchumi nchini humo. Ingawa Rais Trump ...
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imekabidhi madawati 295 yenye thamani ya Sh millioni 25.9 Kwa shule za sekondari na msingi mkoani Simiyu hatua inayolenga kuboresha ...
WAKATI Ligi ya Wanawake ikisaliwa na mechi sita, Ligi ya Mkoa nayo ikitarajiwa kuanza, Ukerewe Queens ambayo kwa sasa inaitwa Tausi FC imefanya usajili wa maana kujiandaa na ligi hiyo ikiwaleta ndugu ...